BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER
Breaking News
recent

KUJIUZULU KWA MWANA DIPLOMASIA WA MAREKANI.

                      
  Wizara ya mashauri ya nchi za kigeni ilisema kuwa   naibu Balozi David Rank ambaye ni mwana diplomasia wa cheo cha juu wa Marekani nchini China ajiuzulu kufuatia madai ya kuwa hakukubaliana na sera za mabadiliko ya hali ya hewa za rais  Donald Trump.


Vyombo vya habari nchini Marekani vimesema kuwa Bwana Rank amejiuzulu kufuatilia tangazo la Trump wiki lililopita lililokuwa linasema  kuwa Marekani inajiondoa kutoka kwa makubaliano ya Paris hatua ambayo itasaidia kulinda uchumi  wa nchi hiyo tangazo ambalo lilizua hisia tofauti duniani kote.

No comments:

Powered by Blogger.