BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER
Breaking News
recent

ARSENAL KUMSAJILI BEKI WA KUSHOTO KUTOKA BOSNIA.

      
Arsenal wametangaza kumchukua beki wa kushoto Sead Kolasinac mwenye umri wa miaka 23 kutoka nchini Bosnia.                                       
                   


                               

Kolasinac amekuwa akiichezea klabu ya Schalke ya Ujerumani amejiunga  na timu hiyo bila kulipwa pesa  na atakuwa mchezaji rasmi pale soko la kuhama wachezaji litakapofunguliwa rasmi ifikapo julai 1 mwaka huu.

 Schalke wamethibitisha kwamba beki huyo ametia saini mkataba wa  Arsenal ambao unadumu hadi 2022 aliisaidia timu hiyo kumaliza nafasi ya 10 Bundesliga msimu uliopita na walifanikiwa kufika robo fainali ya ligi la Europa ambapo waliondolewa na Ajex iliyofika fainali.


"Arsenal ina utamaduni wa muda mrefu na niliifuatilia klabu hii tangu nilipokuwa mvulana mdogo, enzi za Jens Lehmann na Thierry Henry," mchezaji huyo aliambia tovuti ya Gunners.

No comments:

Powered by Blogger.