BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER
Breaking News
recent

HATIMAYE RAIS WA NIGERIA MUHAMMAD BUHARI APATA AHUWENI.

Rais wa Nigeria Muhammad Buhari mwenye umri wa miaka 74 anaendelea  vizuri  akiwa hospitali ya jijini  London ambako anapatiwa matibabu ya maradhi anayougua  ambayo bado hayajawekwa bayana.
 Rais Buhari alidokeza kuwa aliongezewa damu
Bw. Buhari  alipelekwa hospitalini jijini humo mwezi  uliopita kwa ziara yake ya pili ya matibabu nchini Uingereza mwaka huu.

Kukosekana kwake uongozini kumesababisha mihemko nchini Nigeria, taifa lenye uchumi mkubwa na idadi kubwa ya watu barani Afrika, huku baadhi ya watu wakiteta kuhusiana na iwapo ataweza kurejelea kazi yake tena.

Naibu wa Rais Yemi Osinbajo anatumika kama kaimu, na amesifiwa pakubwa kwa namna anavyoshughulikia mzozo wa kiuchumi  hasa baada ya kushuka kwa bei ya mafuta bidhaa muhimu inayouzwa kwa wingi nje ya nchi.


Mwezi Januari mwaka huu Bwana Buhari alichukua wiki saba ya likizo ya matibabu kwenda Uingereza aliporejea nyumbani mwezi machi alisema kuwa ameongezewa damu lakini hakufichua ugonjwa gani anaugua.

No comments:

Powered by Blogger.