BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER
Breaking News
recent

HUZUNI ULIOWAKUMBA TIMU YA NEWCASTLE UNITED.

 Kiungo wa zamani  wa timu ya Newcastle United Cheick Tiote amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 30 baada ya kuzimia uwanjani  wakati akifanya mazoezi nchini China.
 Tiote alizaliwa Ivory coast na alizanza kucheza soka la kulipwa mnamo mwaka 2005 huko nchini  Ubelgiji akiwa na klabu ya Anderlecht  kabla ya kuhamia Fc Twente ya Uholanzi na  kucheza mechi 86 na kushinda taji la ligi ya Eredivisie msimu wa 2009 na 2010 chini ya meneja Steve Mclaren.

 Mnamo mwaka 2010 Tiote ambaye ni kiungo wa kati mkabaji  alihamia Newcastle United kwa malipo ya dola za Marekani  milioni 3.5 na  kukaa kwenye timu hiyo miaka saba na kucheza mechi 138.

  Mwaka 2011 alifunga bao linalokumbukwa sana baada ya kusaidia timu yake Newcastle kujikwamua kutoka  4-0 chini kwenye ligi ya Premia dhidi ya Arsenal na kutoka sare.


No comments:

Powered by Blogger.