BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER
Breaking News
recent

ISLAMIC STATE WAMELIPUA MSIKITI NCHINI IRAQ.

Jeshi la polisi  nchini Iraq limethibitisha kwamba wanamgambo wa dola ya kiislam Islamic State (IS)  wameulipua msikiti mkuu wa Al-Nuri ulioko mjini Mosul .


Msikiti huo unaaminika ya kwamba  ndimo kiongozi wa wanamgambo wa IS Abu Bakr al-Baghdadi alitoa hotuba yake miaka mitatu iliyopita wakati alipokuwa akitangaza "ukhalifa" mpya.

Wakati hayo yakijiri, wanamgambo hao   wanadai ya  kwamba ndege za jeshi la Marekani ndiyo zilizousambaratisha msikiti huo.


Mapema leo, Kamanda wa majeshi ya Iraq amesema kuwa  walikuwa mita kadhaa kutoka msikitini hapo, walipokuwa katika harakati zao za kusonga mbele kwenye mapambano lengo likiwa ni kuteka ngome kuu ya wanamgambo hao wa kiislam wa Is nchini Iraq.

No comments:

Powered by Blogger.