BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER
Breaking News
recent

JAJI WA INDIA APEWA KIFUNGO

Jaji kutoka nchini India Cs Karnal ambaye amekuwa mafichoni tangu ahukumiwe kifungo jela amekamatwa na kufungwa.

 Karnan alikuwa jaji wa kwanza wa mahakama kuu nchini India kukabiliwa na kifungo  na alikamatwa katika jimbo la kusini mwa India Tamil Nadu siku ya jumanne usiku.

Alihukumiwa kifungo mjini Kolkata huku ombi lake la kumwachilia kwa dhamana siku ya Jumatano likikataliwa na mahakamu ya juu zaidi .

Jaji huyo wa zamani alipatikana na hatia ya kutoa madai dhidi ya majaji wenzake.

Alihukumiwa kwa kukaidi agizi la mahakama ya juu zaidi baada ya kutuma barua kwa waziri mkuu Narendra Modi ambapo alimtaka kuwachukulia hatua majaji wenzake.


Alipokonywa nguvu zake kama jaji mnamo mwezi Februari.

No comments:

Powered by Blogger.