BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER
Breaking News
recent

KUKAMATWA KWA RAIS NA KATIBU WA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA(TFF)

Rais wa shirikisho la mpira wa miguu nchini Tanzania (TFF) Jamal Malinzi na katibu wa shirikisho hilo Celestine Mwesigwa wamekamatwa na taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa nchini humo.

Aidha wawili hao walipelekwa kwenye mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar-es-salaam  ambapo walisomewa mashtaka  yao kadha ikiwemo  yale ya matumizi mabaya ya ofisi  kwa kutumia vibaya nyaraka za shirikisho hilo kwa kutakatisha fedha.

Pia washtakiwa hao wamepelekwa mahabusu  keko kutokana na kesi hiyo kutokuwa na dhamani kwa hiyo  basi wataletwa tena mahakamani ifikapo julai 3 mwaka huu.

 Naye Msemaji wa taasisi hiyo ya kuzuia na kupambana na rushwa Musa Misalaba amesema kuwa wawili hao watabaki kizuiani hadi watakapo hojiwa.

Pia Misalaba amesema kuwa  idara hiyo inaendelea kuwachunguza maafisa wengine kwa madai sawa na hayo.

No comments:

Powered by Blogger.