BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER
Breaking News
recent

SOMALIA IMEINGIA KWENYE HASARA BAADA YA INTANETI KUTOPATIKANA.

Waziri wa mawasiliano nchini Somalia Abdi Anshur Hassan ametangaza kuwa tatizo la kupotea kwa intaneti kwa muda wa takribani  wiki mbili sasa ni janga kubwa kwa uchumi wa nchi hiyo.


Bwana Hassann  aliiambia radio ya taifa kuwa nchi inapoteza takriban dola milioni 10 kwa siku kutokana na kukatika kwa internet na hadi sasa nchi imepoteza dola milioni 130.

Aidha tatizo hilo lilisababishwa na kuharibiwa kwa nyaya za chini ya bahari zaidi ya wiki mbili zilizopita kwa mujibu wa Radio Mogadishu.


Hata hivyo Bwana Hassan amasema kuwa serikali inafanya kila liwezekanalo ili  kurejesha huduma hiyo.

No comments:

Powered by Blogger.