BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER
Breaking News
recent

WANANCHI WA UINGEREZA KUPIGA KURA LEO KWENYE UCHAGUZI MKUU.

Takribani ya mamilioni ya watu watapiga kura kwenye uchaguzi mkuu nchini Uingereza.




Shughuli za upigaji kura zitaanza majira ya saa moja asubuhi saa za Uingereza wakati huo Zaidi ya vituo 40,000 vitafunguliwa kote nchini.

Jumla ya wabunge 650 watachaguliwa huku takribani watu milioni 46.9 wakiwa wamejiandikisha kupiga kura  ikiwa ni ongezeko kubwa  kutoka uchaguzi wa mwaka 2015 wakati wapiga kura milioni 46.4 walikuwa wamejiandikisha.

Kura zingine teyari zimeshapigwa kupitia njia  ya posta ambayo ilichukuwa asilimia 16.4 wakati wa uchaguzi wa mwaka 2015.


Matokeo  ya viti kadha yanatarajiwa kutangazwa ifikapo usiku wa manane, huku matokeo ya mwisho yakitarajiwa kutangazwa Ijumaa mchana.

No comments:

Powered by Blogger.