BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER

BUNNER
Breaking News
recent

KATY PERRY KUSHIKA NAFASI YA KWANZA DUNIANI KWA KUWA NA WAFUASI WENGI.

Msanii wa Marekani Katy Perry amekuwa mtu wa kwanza duniani kupata wafuasi milioni 100 katika mtandao wa Twitter.Kate Perry afikisha wafuasi milioni 100 katika Twitter
Mtandao huo ulichapisha kanda ya video inayoonyesha jumbe zake zote tangu alipojiunga na mtandao huo pamoja na ujumbe unaosema "Today, we #WITNESS history"{Leo #Tumeshuhudia Historia} Witness ni jina la albamu mpya ya Perry.
 Naye  mwimbaji wa Canada Justin Bieber ameshika nafasi ya pili kwa kuwa na  idadi kubwa ya wafuasi katika mtandao huo  akiwa na wafuasi  milioni 96.7 
Huku rais mstahafu wa nchini Marekani Baraka  Obama amekuwa wa tatu kwa kuwa na  wafuasi milioni


No comments:

Powered by Blogger.